Ujumbe mzuri wa kumtumia mpenzi wako hata kama ukiwa mbali na yeye๐๐
Wewe ni mng’arao machoni mwangu;
Tabasamu la midomo yangu;
Furaha ya uso wangu;
Kwa sababu bila wewe, mimi sijatimia.
****
Last night I matched each star with a reason for loving you. I was doing great until I ran out of stars.
****
Mungu ni mwenye busara kwa kuwa hakubandika gharama yoyote juu yako mpenzi. Kama angelifanya hivyo, nisingeweza kuwa na uwezo wa kuwa na mpenzi wa thamani kama wewe.
****
Darling, if you are the second best girl for me, then who is the best? The answer is nobody, because you will always be the best girl for me.
****
Moyo wangu kwako hautavunjika kamwe. Tabasamu langu kwako halitafutika kamwe. Penzi langu kwako halitaisha kamwe. Nakupenda!
****
When you need someone to be there for you, I’d be just sitting right beside you.
****
Unanipa furaha, Unanipa tumaini. Unanipa nguvu, ambayo hunifanya nivumilie. Nakupenda mpenzi, kuliko unavyompenda papa!
Tabasamu la midomo yangu;
Furaha ya uso wangu;
Kwa sababu bila wewe, mimi sijatimia.
****
Last night I matched each star with a reason for loving you. I was doing great until I ran out of stars.
****
Mungu ni mwenye busara kwa kuwa hakubandika gharama yoyote juu yako mpenzi. Kama angelifanya hivyo, nisingeweza kuwa na uwezo wa kuwa na mpenzi wa thamani kama wewe.
****
Darling, if you are the second best girl for me, then who is the best? The answer is nobody, because you will always be the best girl for me.
****
Moyo wangu kwako hautavunjika kamwe. Tabasamu langu kwako halitafutika kamwe. Penzi langu kwako halitaisha kamwe. Nakupenda!
****
When you need someone to be there for you, I’d be just sitting right beside you.
****
Unanipa furaha, Unanipa tumaini. Unanipa nguvu, ambayo hunifanya nivumilie. Nakupenda mpenzi, kuliko unavyompenda papa!
Comments
Post a Comment