Posts

Showing posts from October, 2020

SIMULIZI: Utamu Wa Shemeji Sehemu Ya Kwanza (1)

Image
Ni asubuhi na mapema kijana Japhet akiwa amejilaza kitandani chumbani kwake ndipo mara ghafla anashtuka kutoka usingizini baada ya kuusikia mlango wa chumba alicholala ukigongwa. Kwa uchovu mwingi sana Japhet anaamka na kujiinua kutoka kitandani anachukua T-shirt yake na kuivaa vyema halafu anaenda kuufungua mlango huo. Kumbe ni kaka yake aitwae Lukasi ndie alikuwa anamgongea mlango. "Habari za asubuhi mdogo wangu, vipi umeamkaje?" Lukasi alimuuliza Japhet. "Habari za asubuhi ni nzuri tu kaka, nashukuru nimeamka salama" Japhet alijibu huku akipiga miayo ya uchovu.​ "Ok ni vizuri kama umeamka salama, sasa ni hivi mimi ndio naondoka ile safari yangu ya kibiashara, naenda Mwanza" alisema Lukasi akimwambia Japhet. "Ooho kaka mimi nakutakia safari njema uende salama na pia urudi salama hapa nyumbani" alisema kijana Japhet. "Sawa mdogo wangu, na nyinyi pia m'baki salama hapa nyumbani kumbuka ni wewe mdogo wangu ndie ninaekutegemea hapa muishi ...

Baba P...Baba Pili...Baba Pilima! Sehemu Ya Tano (5)

Image
Kulipokucha kabisa, ndiyo kwa mbali akapitiwa na usingizi. Mama Pilima wakati anaamka alishangaa kumwona mumewe bado kitandani wakati anavyojua, huwa anatangulia kuamka siku zote. Alimwamsha… SHUKA NAYO MWENYEWE SASA… “Baba Pilima…baba Pilima.” Baba Pilima alishtuka na kumtumbulia macho mke wake… “Mbona leo mpaka muda huu bado umelala, una nini mume wangu?” “We mama Pilima aisee ni kiboko,” alisema baba Pilima huku akiendelea kumwangalia mkewe… “Kwa nini mume wangu?” “We tambua hivyo tu.” Maneno ya baba Pilima yalimsumbua sana mke wake kiasi kwamba, muda huohuo aliwaza mambo yasiyopungua mia kidogo… “Mh! Au amejua kitu? Lakini kama amejua kitu amejuaje? Mbona ni mambo ya siri sana?” Alikuwa na shida ya shilingi elfu hamsini asubuhi hiyo lakini akashindwa kumwambia mume wake. Dakika zilipita, mambo mengine yakaendelea huku baba Pilima akiamua kuingi mzigoni yeye mwenyewe. Akiwa mjini, baba Pilima alishika simu yake akasachi namba ya baba Pili, akamwendea hewani… “Haloo,” alipokea baba P...

Sehemu Kuu Nne (4) Za Mwili Ambazo Hupaswi Kumgusa Mke Wako 18+!!

Image
Kwa kutumia utafiti usio rasmi, utakubaliana nami kuwa kumekuwa na mtazamo uliojengeka katika jamii kuwa mwanaume ukiwa umemuoa mwanamke na kuwa mwili mmoja, basi una kila haki ya kumshika sehemu yoyote uipendayo hasa wakati unahitaji kufanya nae tendo la ndoa. Lakini utafiti na uzoefu uliokusanywa na wataalam wa mahusiano na ndoa waliofanya mahojiano na wanawake kama kuna sehemu wazisopenda kuguswa na waume zao na nyakati husika, umetoa picha na mtazamo ambao wanaume wanapaswa kuufahamu mapema kabla hawajaingia katika hatari ya kuwa kero au kuwakwaza wenza wao. Kama ulikuwa haufahamu, nikujuze kuwa wanawake ni viumbe wenye mlango mmoja wa ziada wa fahamu kuwapita wanaume. Hii nitaizungumzia siku nyingine kwa urefu. Lakini mlango huu wa ziada ndio huwapa hisia ya ziada pamoja na kuwafanya kujali sana vitu ambavyo mwanaume hasa mwenye haja ya kufanya tendo anaweza asizingatie sana wakati anataka kukidhi haja yake. Ukifuatilia sehemu hizi za mwili wa mwanamke nitakazozitaja na nyakati za...

SIMULIZI: Baba P... Baba Pili ...Baba Pilima Sehemu Ya Nne (4)

Image
“Nilidhani umepiga kwenye simu ya wifi,” alisema dada yake huyo. Baba Pilima aliporudi chumbani, mama Pilima alikaa sebuleni na wifi yake, wifi akaanza kusema… “Wifi, huyo uliyemsevu kwa jina la baba Pilima kwenye simu yako ni nani? Maana simu ilipoita nikajua ni kaka, ndiyo maana nikakwambia kaka anapiga. Lakini pia nilishangaa kwa nini kaka apige wakati yumo humuhumu ndani?” “Wifi yule anaitwa mama Sakina, anakaa mtaa wa mwisho kule. Siku namsevu sijui ilikuaje, nikaandika jina la kaka yako, lakini sikulifuta, tena ngoja nimpigie,” alisema mama Pilima huku akishika simu, akaiweka sikioni, baada ya muda akaongea… “Ee mama Sakina…naona ulinipigia…aaa! oke…sawasawa…saa ngapi…oke sawa,” akakata simu na kumgeukia wifi yake… “Kumbe alitaka niende nyumbani kwake, ana vitenge vizuri kutoka Zaire,” alisema mama Pilima. Lakini ukweli ni kwamba, hakupiga simu kwa mtu yeyote yule, achilia mbali mama Sakina… “Oke, na siku ile ulipiga simu ikasomeka jina la baba Pili naye ni nani wifi?” wifi mtu h...

Mbinu Kuu Nne (4) Za Kuomba Sex Kwa Mwanamke Yeyote Bila Kua kwenye Mahusuano Naye!!

Image
Ingekuwa mzuka sana kama ungeweza kumuona msichana mrembo mtaani, au pengine College au eneo la kazi na kumfuata na kuondoka nae mpaka nyumbani kwako kwa ajili ya kumtafunisha muwa. Lakini sio rahisi hivyo, moja kati ya vitu challenging katika maisha ya mwanaume ni jinsi ya kuomba mchezo. Ikiwa umemuona msichana ambaye amekuvutia na unahitaji sana kufanya nae sex, hizi ni mbinu tano unazoweza kutumia kuhakikisha “unamvusha”. #1 Usilete kiswahili mingi: Wanaume mara nyingi wana tabia ya kujifikirisha sana linapokuja suala la kuomba mzigo. Wakati mwingine unakuta msichana na yeye anasubiri kuambiwa twende, hivyo ni vema ukajitosa uwanjani huwezi jua unaweza kujikuta umengóa mtoto bila hata ku-sweat. Mwambie moja kwa moja nia yako, mara nyingi wasichana hupenda watu wakweli. Cha msingi tafuta nafasi ya kumwambia unaweza uka-flirt naye kwanza umsome anapendelea vitu gani, kisha anzisha mazungumzo na umuoneshe kwamba unamheshimu. Kisha, tafuta upenyo katika mazungumzo yenu umwambie nia yako...

SIMULIZI: Baba P... Baba pili....Baba Pilima Sehemu Ya Tatu (3)

Image
Baba Pili aliegemea kiti kwa haraka sana, akatumbua macho kusubiri hatua nyingine akiamini ataambiwa au ataelekezwa… “Mmm! Baba Pili acha mi niende bwana. Muda umekwenda kwelikweli, si ajabu nyumbani wameanza kuingiwa na wasiwasi,” alisema mama Pilima akiwa tayari ameshika kitasa cha mlango ili kushuka… “Kha! Yaani mbona haifanani?” alihoji baba Pili…​ “Nini?” “Kuniambia nilale mpaka kuaga kwamba unawahi nyumbani…” “Teh! Teh! Ulidhani nini kitafuata baba Pili? Mbona mimi nimeshaongea mengi na wewe?” alisema mama Pili akiwa ameshafungua mlango wa gari na kushuka. Mama Pilima alisimama mlangoni, akamwangalia baba Pili kwa sura yenye umakini wa hali ya juu… “Bai baba Pili, usiku mwema, nafurahia kampani yako,” alisema mama Pilima akaanza kutembea. Baba Pili akiwa bado ameegemea kiti, alishindwa kujifahamu. Kwa kutumia mwanga hafifu uliokuwa ukitoka kwenye taa za madukani, alimwangalia mama Pilima anavyotembea kuelekea mitaa ya kwake kisha akatingisha kichwa akisema… “Da! Ameniweza kweli! ...