Utamu wa Shanga Sehemu ya Kwanza 1

Ilikuwa ni ijumaa tulivu iliyokuwa na kijua cha wastani kikiwaka siku hyo nilikuwa natoka nyumbani naenda kwa bamkubwa kukaa mpka likizo itakapoisha niludi nyumbn.Nilpenda sana kwenda kwa bamkubwa kwasababu kwake kuzuri kuliko kwetu bac nilitembea mpka stend ya basi ubungo nikapanda gar mpaka mwenge nikashuka bahat nzur nikakuta bamkubwa akinisubili na mtoto wake wakike nikaingia kweny gar nikamsalimia "Shikamo baba"Akanijibu "Marahaba ujambo " "Cjambo baba"nikamjibu tukaendelea na safar mpka nyumbani kwake mikocheni tulipofika getini alipga honi na geti likafunguliwa tukaingia ndani na gar tulipofika ndani tulishuka "Hay kalibu nyumbani mwanangu"bamkubwa alinikalibisha mpka ndani tukaingia nikaenda kukaa kwenye sofa moja zuri sana baba akamwambia mwanae w mbna nakuona upo kimya vp unatatzo gain "Cjisiki vizuri baba nahisi kama naumwa "mwanae alimjibu hvyo "Basi ngoja twende hospitali"walinyanyuka walipo kaa Bamkubwa akamwita ...