Posts

Showing posts from June, 2020

JUA JINSI YA KUSUGUA G-SPOT YA MWANAMKE HADI APIGE KELELE KAMA MTOTO MDOGO

Image
Grafenberg Spot a.k.a G-Spot ni kidude laini kama sponge chenye umbile la haragwe ambacho kipo ndani ya Uke,kwenye upande wa juu inch 2 mpaka 3 kutoka nje kuelekea ndani.  Wakati mwanamke anapozidi kupata hamu ya kupata raha na utamu,kuna tissue ambayo ipo karibu naimezunguka urethra,inakuwa engorged with blood,na kusababisha Skenes glands zitengeneze Prostatic Fluid na kufanya hicho kiharagwe kidinde/kisimame na process yake haina tofauti na process ya kusimama kwa mashine ya mwanaume,lazima uelewe kuwa kama hujazipandisha hamu zake vya kutosha,basi itakuwa kazi sana kukipata kidude hiki.  JINSI YA KUFANYA. * Hakikisha umeshamfanyia maandalizi zaidi ya dakika 10,inatakiwa awe tayari Uke wake upo wet kabla hujaanza kusisimua G-spot yake,kuna njia mbili za kusisimua G-SPOT  1 :KWA KUTUMIA KIDOLE/VIDOLE. * Hakikisha kucha zako fupi na mikono yako misafi. *Hakikisha Uke wake umeloa vya kutosha.  *Akiwa amelala kitandani,Ingiza kidole kimoja ( kama uke wake uko tight ) a...

Wanawake wengi wanadanganya kua wamefika kileleni wakati wakishiriki tendo la ndoa na wapenzi wao

Image
Haya mambo ya mapenzi yana uwanja mkubwa sana. Na kila mtu ana mapito yake kwenye hili swala. Kufika kileleni kwa mwanamke imegundulika sio wote wanafika kileleni, niwachache sana wanaofika japo ni wengi wanaosema nimefika kileleni kwa kudanganya, waongo. Unajua kufika kileleni ni sifa katika maswala ya mapenzi na mwanaume anajisikia special kama amemfikisha kileleni mwenza wake na mwanamke anafurahi sana afikapo kileleni na kuona mwanaume amefurahia penzi lake so atafanya kila jitihada kuhakikisha anamfurahisha Mwanaume ikiwemo kujifanya analia eti anaumia japo wapo wanao umia kweli. Wanawake wanajua wakifika kileleni mwanaume anafurahi sana. So ili kumfurahisha mwanaume ataact kufika. Wajanja sana na wanatupenda jamani dah!!. Hata hivo kuna baadhi ya sabau zinazosababisha adanganye awe ajifanye kufika kileleni. yaani unakuta mwanamke anajinyonganyonga, anapiga kelele, anakukumbatia kwa nguvu kama mtu anayetaka kufikia mshindo kumbe ni mbwembwe tu. Baadhi tu ya s...

Sweet sunday wishes for her!!

Image
1.  I feel the love in my heart, I have joy in my world. I am fulfilled just because of you. Happy Sunday baby and I wish you the best of this awesome day. 2.   All the good things in the world, you deserve and more for giving me the best love felt. I can’t love you enough and I wish you a beautiful Sunday. 3.  You are the perfect one for me. No mistaking, you are the most adoring girl I wished for, long ago. Thank you for being my girl. Happy Sunday girl. 4.  Today is Sunday, I pray all your wishes to come true and may your life be complete. I love you, my sweetheart. 5.  I mean all I say, when I tell you how much you mean to me, you are special and you know that. Happy Sunday, love. Welcome to another wonderful Sunday. Happy Sunday SMS for Girlfriend 6.  I can’t do without you, my love. Today won’t be promising if I don’t have you to say “Happy Sunday” to one important person in the world. 7.  All your prayers for today have bee...

Zijue style nzuri za ku mfikisha mwanamke wako kileleni!!!!

Image
Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachilia mbali swala la  kukeketwa. Baadhi ya wanawake hufikia kilele mara moja tu (tena kwa shugulikiwa kisimi sio ule uhondo wa kumani) kila wanapofanya mapenzi/ngono na wachache wamejaaliwa na hupata uhondo wote wa kufanya mapenzi yaani wanaweza kufika kileleni zaidi ya mara mbili katika tendo/mzunguuko mmoja. Ujuzi au utundu wa mwanaume hausaidii ikiwa mwanamke mwenyewe hajiamini na vilevile hajui ni kitu gani kina “kunyegesha”. Mwanamke anasehemu mbili maalum zinazopelekea kufikia kilele ikiwa zitafanyiwa kazi vyema sehemu hizo ni Kisimi na “kipele G” Wanawake wengi tunakasumba ya kukimbilia “mikao” migumu tukiwafikiria wanaume wetu, sasa mimi nasema hivi; ikiwa unamatatizo ya kufika kileleni hakikisha mnaanza na “mkao” ambao unajua wazi unakufikisha ktk dakika chache badala ya kukimbilia “doggy” ukijua wazi mumeo/mpenzi wako ana mboo ...

Zijue style ngumu za mapenzi na madhara yake👌

Image
Staili ya kufanya mapenzi ina umhimu wake katika upatikanaji; kwa hizo staili ngumu mnazofanya ipo siku mtazaa ngamia. Pamoja na hayo;  KIFO CHA MENDE  ndiyo inayotajwa kuongoza kuwa ni staili pekee yenye uhakika wa kutungisha mimba iliyonjema kwa zaidi ya asilimia 90%. Wakati huo 2% inatajwa kuwa watoto wenye utindio wa ubongo wanaweza sababishwa na namna ya mama mzazi atakavyohudumiwa na mkunga siku ya kujifungua. Lakini je wajua? "Baadhi ya staili ngumu za kufanya mapenzi zinatajwa kuchangia kwa asilimia 8% upatikanaji wa watoto wenye umbo la kipekee (Abnormal human being). BADILIKENI MAPENZI SIYO VITA " Mnamkunjana kama mataili?....mnafungana kamba kwenye kenchi? mnakutana kwa bembea? ...mnabinuka kama popo? ...kwa hayo machache mnatarajia mtapata kiumbe cha kawaida?

BALAA LA MCHUNGAJI💖

Image
BALAA LA MCHUNGAJI ***************************** 🔞🔞 Akiwa na miaka Tisa, mchungaji alichomwa sindano za kuzuia uboo wake usifanye kazi.Wazazi wake walitaka asome kwanza ,hawakutaka ashiriki ngono mpaka  atakapomaliza masomo . Walitaka awe mchungaji,hivyo hawakutaka ajichafue kwa dhambi za ngono. Dawa alizochomwa zilifanya uboo wake utumike kukojoa tu,ilikuwa hata akimuona mwanamke uchi,uboo wake ulilala tu,haukushtuka. Hadi anamaliza chuo hakuwahi kushiriki ngono. Baaada ya kumaliza chuo na kufanikiwa kuwa mchungaji, wazazi wake walimpeleka hospital kuchomwa sindano ya kuupa nguvu uboo wake ,Pia ,Walimfanyia mpango amuoe Cathe,mtoto wa mchungaji ambaye naye alitunza bikra yake mpaka alipomaliza masomo. Walifunga ndoa. Baada ya sherehe kwisha,Mchungaji na cathe( mama mchungaji) walienda kujifungia hotelini. " Usiwe mshamba baby, kwenye mafunzo waliniambia hii naniu yako inabidi uiingize huku kwangu" Aliongea mama mchungaji,Aliushika uboo wa mchungaji na kuui...

Namna sahihi ya kuamsha hisia za kimapenzi💓

Image
Kawaida mahusiano ni kama kujenga nyumba ambayo ujenzi wake hudumu na kudumu hata kama ipo siku utaamua kuishi kwenye hiyo nyumba bado utaendelea na kufanya repair kila siku na kila mara.   Hivyo basi, ili ndoa yako iwe tamu na kuteka nafsi ya yule unampenda basi hakikisha huu mwezi unafanyia kazi mambo Yafuatayo;  Mapumziko ya pamoja   Inatakiwa kujadili na kupata muda wa kuwa peke yenu, hii inawezekana ikawa mara mbili au tatu kwa mwezi, hata kama mna watoto wengi kiasi gani lakini faraja inayotukuka katika mapenzi ni kuwa pamoja. Tafuteni siku maalum ambayo mtatulia, mtajadili mambo yenu kwa usiri na mtatenda chochote kinachostahili, hapa mtashangaa kuona mnatengeneza penzi ambalo kwa muda mrefu mlikuwa hamjalipata.  Watu wanaokaa pamoja wakajifungia sehemu kwa zaidi ya masaa matatu manne si rahisi kuwa na kisirani, kwa vile kwa kukaa hivi kila mtu anakuwa na muda mzuri wa kumrekebisha mwenzake.  Kutafuta raha katika mwili   Unatakiwa uwe mwepes...

Jinsi ya kufanya mwanamke apagawe kwako

Image
Katika ulimwengu wa mapenzi, baadhi ya wanaume hujikuta katika wakati mgumu, kutokana na kushindwa kuwashawishi wanawake hata wakawapata kimapenzi, iwe katika mapenzi ya kawaida, au hata uchumba ambao hatima yake ni ndoa. Ukweli kuhusiana na suala hili ni kwamba vijana wengi wa siku hizi hawafahamu jinsi ya kukabiliana na wanawake, ama kwa kuwa hawapati mafunzo ya kutosha kutoka kwa wazazi wao, au pengine kutokana na wanawake wa sasa kuwa wajanja, kiasi kwamba wanawatisha na kuwakatisha tamaa mapema.  Ni dhahiri kuwa vijana wengi wa zama hizi huwachukulia wanawake kwa mtazamo fulani ambao hauwasaidii kuwafahamu vema, hali ambayo matokeo yake ni kukosekana kwa mafanikio na tija katika suala la mapenzi.  Katika zama hizi ambapo ungangari wa wanaume umepungua kutokana na kampeni za usawa wa jinsia, vijana wa kiume ama huwaona wasichana kama vituo vya polisi, au wengine huwaogopa kutokana na kujidhania kutokuwa na uwezo wa kifedha wa kuwatosheleza, hasa mwanamke anayehusi...

Tuma SMS hizi kuboresha penzi lako

Image
Sms 1: Furaha ni kawaida yangu, kununa si busara kwangu, kuishi nawewe vizuri ni sehemu ya Maisha yangu, kukusalimia ni hulka ya Moyo wangu, Uhali gani mpenzi?    Sms 2: Salamu yako ni nusu ya uhai wangu, kuikosa nisawa na kuidhulumu nafsi yangu, kuipata nisawa na ua ridi machoni mwangu, nakila ninapoipata huwa najisikia faraja moyoni mwangu, Nakupenda sana Muhibu wangu.  Sms 3: Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA  Sms 4: Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo kwa kukutumia sms mpenzi wangu, Nakutakia usiku mwema  Sms 5: Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitaji kuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapo kama ukiwa mbali "NIACHE NIKUPENDE SWEET" Sms 6: Moyo wangu umehifadhi hisia zako, n...